Ijumaa, 10 Februari 2017

Tanzania regional buses and their classes

MADARAJA YA MABASI YALIYOPANGWA NA SUMATRA NA VIGEZO VYAKE( baadhi tu vigezo, si vyote).

1.ORDINARY BUS (DARAJA LA KAWAIDA)
       1.seats mbili upande mmoja na tatu upande mwingine
       2.hakuna A/C
       3.Hakuna huduma ya choo
       4.Hakuna huduma ya vitafunwa na vinywaji laini
       5.Hakuna mpangilio mzuri wa muda wa kuondoka na kufika
       6.Hakuna mapazia
       7.TV chini ya tatu

2.SEMI-LUXURY BUS (DARAJA LA KATI)
      1.Mpangilio wa seats ni wa mbili kwa mbili
      2.Ndani lazima kuwe kuna A/C
      3.Huduma ya vinywaji laini na vitafunwa
      4.Mpangilio na ufuatiliaji wa muda wa kuondoka na kufika
      5.Mapazia safi katika madirisha
      6.TV kuanzia NNE na kuendelea
      7.Wahudumu nadhifu
     
3.LUXURY BUS (DARAJA LA KWANZA)
      1.Mpangilio wa seats ni mbili kwa mbili au moja kwa mbili
      2.Lazima kuwe na A/C
      3.Huduma za vinywaji laini na vitafunwa muda wote
      4.Uzingatiaji wa muda wa kufika na kuondoka
      5.Mapazia safi muda na wakati wote wa safari
      6.TV zaidi ya tano / kila seat
      7.Mwendo mzuri na wa kistaarabu.
      8.Wahudumu nadhifu muda wote wa safari
      9.Huduma ya choo ndani ya basi pia bafu ikiwezekana.
    10.Seats za kulala na nafasi ya kutosha kunyoosha miguu.
    11.Huduma za ziada au binafsi ( basi kusimama njiani kwaajiri ya kufurahia hali ya hewa ya nje na mazingira mf.kitonga n.k)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni